Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi Mara waikataa Zahanati, RC atoa saa 48

Tuesday , 21st Jun , 2022

Mkuu wa mkoa wa Mara Ally Hapi, ametoa saa 48 kwa Mkuu wa wilaya ya Rorya Juma Chikoka, kupeleka Mganga wa Afya katika Zahanati ya Oliyo iliyopo Kata ya Rabuori pamoja na kuweka ulinzi  kufuatia wananchi kugomea kutumika kwa kituo hicho kwa madai ya kuhitaji kituo cha Afya na sio zahanati.

Mkuu wa mkoa wa Mara Ally Hapi

Amebainisha hayo wakati akizungumza na wazee wa mkoa pamoja na wazee wa kimila ambapo amesema zahanati hiyo ilianza ujenzi kwa nguvu za wananchi na serikali ilimalizia kwa kutoa fedha kiasi cha milioni 50 na ujenzi kukamilika lakini kuwepo kwa mgogoro wa ujenzi wa kituo cha Afya ndani ya Kata hiyo kunapelekea baadhi ya kugomea kuanza kutumika kwa zahanati hiyo.

"Sasa natoa saa 48 huduma za kiafya zianze kutolewa katika zahanati hiyo na yoyote atakayefanya fujo kwa mganga wa afya ama mwananchi watakaoenda kupata huduma kituoni hapo hatua za kisheria zitachukuliwa, tusinyime wananchi huduma kwa sababu ya ulafi wa madaraka kwa watu wachache, " amesema RC Hapi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine