Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yajiondoa shindano la nani zaidi

Thursday , 16th Jun , 2022

Uongozi wa klabu ya Yanga umethibitisha kuwaandikia barua waandaji wa shindano la Nani Zaidi, kujiondoa rasmi kwenye shindano hilo linalohusisha mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga kuchangia vilabu vyao.

Msemaji wa Yanga Haji Manara

Msemaji wa Yanga Haji Manara amethibitisha kwa mabingwa hao wapya wa ligi kuu Tanzania Bara kwa msimu 2021/22 kuwaandikia kampuni ya Azam PayTv ambao ni waandaji wa shindano hilo lililozinduliwa mnamo Juni 2,2022 jijini Dar es Salaam.

“Ni kweli tumeandika barua ya kujitoa kwenye shindano la Nani Zaidi,lakini klabu itatoa taarifa rasmi kwa nini tumeandika barua ya kujiondoa kwa sababu haya mambo yanahitaji sheria kuyaelezea“’amesema Manara

Katika hatua nyingine,Manara ameelezea kuhusu utaratibu wa kukabidhiwa kombe lao la ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara kwa msimu huu ambapo watakabidhiwa kwenye mchezo dhidi ya Mbeya City utakaofanyika kwenye dimba la Sokoine jijini Mbeya mnamo siku ya Juni 25,2022

Yanga inaingia kambini kesho kujiwinda na mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Polisi Tanzania ambapo klabu hiyo utatumia mchezo huo kuwaaga mashabiki wao kwani utakuwa mchezo wa mwisho kucheza kwa msimu huu kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa,Jijini Dar es Salaam.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali