Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tembo Worriors waalikwa Michuano ya Ulaya

Thursday , 12th May , 2022

Timu ya Taifa ya Tanzania kwa mpira wa mguu kwa walemavu Tembo Warriors, imepata mwaliko rasmi wa kushiriki mashindano ya Ulaya itakayofanyika nchini Poland.

(Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa walemavu Tembo Worriors)

Mashindano hayo yanayojulikana kama Amp-Futbal Europe 2022 yanatarajia kufanyika mwezi Juni kati ya tarehe 10 hadi 13 katika mji wa Warsaw nchini Poland.

Mashindano haya yanatarajia kushirikisha nchi nne, nchi tatu kutoka bara la ulaya ambazo ni England, Italy na Poland, na nchi moja kutoka Africa. Na hivyo Tanzania ndiyo nchi pekee ya africa iliyopata mwaliko kati ya nchi 18 za Africa na nchi ya pekee kati ya nchi nne za Africa zilizofuzu kwenda kombe la Dunia.

Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu kwa walemavu Tanzania TAFF ndg. Peter Sarungi amesema kwamba, Tanzania inazidi kung'ara katika mchezo huu na hii inatokana na ushiriki wa Serikali yetu na wadau wengine kusaidia kulea na kuhudumia mchezo huu nchini.

Mfano mzuri uliochukuliwa na mataifa mbalimbali ya nje ni utayari na ukubali wa Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake kugharamia na kuandaa mashindano ya Africa (CANAF 2021) ambayo yamesaidia Africa kupata wawakilishi wa kwenda kombe la Dunia.

Pia Sarungi amesema kuwa Tembo Warriors imekuwa ni timu yenye vijana wengi kuliko timu nyingi za Ulaya na wameonekena wanafanya vizuri hasa kwa wale walioshiriki mashindano ya Africa na wale ambao wamepata nafasi ya kwenda kucheza mpira wa kulipwa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine