Thursday , 14th Apr , 2022

Mwimbaji wa Bongofleva, Maunda Zorro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 14, 2022. Chanzo cha kifo chake ni ajali ya gari.

Msanii Maunda Zorro enzi za uhai wake

Ndugu wa damu wa Maunda Zorro msanii wa Bongofleva Banana Zorro amethibitisha kutokea kwa msiba wa mdogo wake.

Maunda Zorro enzi za uhai wake

Taarifa zaidi zinafuata