
Picha ya Ibraah na mwanamke anayedai kuzaa naye
Ibraah amekanusha taarifa hzio kwa kusema ni kweli alikuwa na mtoto lakini amefariki baada ya miezi mitano, pia mtoto huy alimpata na mwanamke anayeitwa Pendo sio Kim Mishepu.
Zaidi tazama hapa kwenye video.