
Makao Makuu ya Jeshi la Polisi mkoa wa Geita
Mwalimu wa Afya shule ya msingi Bukoli, Mosses Luheja amesema baada ya kuona mtoto ametokwa na utumbo kwenye njia ya haja kubwa wakamkimbiza kituo cha Afya Bukoli anasema baada ya kumfanyia uchunguzi mototo huyo akagundua ameingilia kinyume na maumbile.
Jeshi la Polisi mkoa wa Geita bado linaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo.
Tazama Video hapo chini