Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bashe amtumbua mkandarasi

Tuesday , 25th Jan , 2022

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amemfuta kazi mkandarasi wa kampuni ya MV Consult kwa kushindwa kukamilisha ujenzi wa ghala la kisasa la kuhifadhia na kukaushia mazao ya nafaka kwa ajili ya udhibiti wa sumukuvu linalojengwa katika kijiji cha Engusero wilayani Kiteto.

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Akiwa ziarani katika wilaya ya Kiteto, Waziri Bashe ameonesha kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi huyo anayejenga ghala hilo huku baadhi ya viongozi wakisema hawaoni mafanikio yoyote ya kukamilika kwa mradi huo kwa jili ya kuwanufaisha wananchi kama ilivyokusudiwa.

Mradi huo wa maghala kwa ajili ya udhibiti wa sumukuvu unajengwa katika wilaya 14 hapa nchini ambao una lengo la kuhakikisha wananchi wanaepukana na janga la sumukuvu linalosababsihwa na kuweka mahindi chini baada ya kuvuna kutokana na kutokuwa na sehemu sahihi jambo ambalo limekuwa likipelekea hasara kubwa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine