Picha ya Fahyma
Fahyma ametoa dukuduku hilo kwenye 'Insta Story' yake kwa kuandika ujumbe ufuatao kwa wanaomdhihaki kwamba ameachwa.
"Nasema hivi mnikome jamani Fahyma kaachwa kaachwa, nimechoka na kama sijaachwa je? na wewe unayeendelea kunichokonoa endelea kuna jambo unalitaka".