Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge Neema Lugangira achangia pedi kwa watoto 42

Wednesday , 28th Jul , 2021

Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (NGOs Tanzania Bara) Mhe. Neema Lugangira amewasilisha mchango wa Taulo za Kike kwa wanafunzi 42 mwaka mzima, katika Ofisi za EATV, Mikocheni ikiwa ni kuunga mkono kampeni ya Namthamini.

Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (NGOs Tanzania Bara) Mhe. Neema Lugangira (kushoto) akikabidhi mchango wake na kupokelewa na Mtangazaji wa Drive Show Justine Kessy

Akizungumza baada ya kukabidhi mchango huo amesema kuwa kampeni ya Namthamini isiishie tu kwa wanafunzi mashuleni lakini pia ifike katika Magereza ili kusaidia pia wafungwa na mahabusu wakike ambao taulo pia ni changamoto kwao.

“Nimeguswa na kampeni ya Namthamini na nimekuwa nikifanya hivyo kupitia Taasisi yangu pia kuhakikisha tunasaidia Watoto wa kike kubaki Shule hasa madarasa yale ya mitihani ili Watoto hawa wasipoteze ndoto zao”, amesema Mh. Lugangira.

Mbunge Viti Maalum CCM (NGOs Tanzania Bara) Mhe. Neema Lugangira ( wa pili kutoka kushoto )  akiwa pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa EATV ambapo kulia ni Afisa Mahusiano wa IPP Media, Nancy Mwanyika.

Mheshimiwa Lugangira ambaye pia ni Mkurugenzi Agri Thamani amesema kuwa katika kuhakikisha pia tunathamini Viwanda vya ndani, taulo za kike pia zinatakiwa kupewa nguvu katika uzalishaji wake kwa wafanyabiashara wa ndani.

“Nimeleta taulo hizi ambazo zinatengenezwa na kiwanda cha ndani ili kusisitiza Uzalendo kwanza kwa vitendo, tuthamini vya ndani, hii imekuwa ni moja ya hoja zangu hata ninapokuwa Bungeni”, amesema Lugangira.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine