Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha moto sekondari ya Geita chabainika

Monday , 19th Jul , 2021

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita limesema chanzo cha matukio ya moto katika shule ya sekondari ya Geita yaliyotokea hivi karibuni ni ugomvi wa muda mrefu kati ya wanafunzi wa kutwa na bweni, ambapo wanafunzi wa kutwa wamedai wanafunzi wa bweni wamekuwa wakipendelewa na uongozi wa shule.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Henry Mwaibambe

Kamanda wa Polisi mkoani humo Henry Mwaibambe, ameyasema hayo wakati akitoa taarifa ya uchunguzi wa matukio matatu ya moto yaliyotokea kwa kufululiza shuleni hapo kati ya Julai 5, 6 na 14 mwaka huu, na kudai kuwa wanafunzi wa kutwa wanadai kwamba wenzao wa bweni wamekuwa wakipendelewa hasa kwenye masuala ya chakula.

Kamanda Mwaibambe ameongeza kuwa mbali na matukio ya moto shuleni hapo, shule hiyo pia imekuwa na historia ya kuwa na wanafunzi watukutu, wavuta bangi na waharibifu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine