Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi za Al Ahly na kocha Mosimane CAFCL

Sunday , 18th Jul , 2021

Baada ya kuifunga Kaizer Chief magoli 3-0 kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa Julai 17, 2021, klabu ya Al Ahly imetwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo.

Al Ahly wakishangilia ubingwa

Mbali na kutwaa mara mbili mfululizo lakini miamba hiyo ya soka kutoka nchini Misri imeendelea kutanua wigo wa rekodi yake ya kuwa mabingwa wa kihistoria wa kombe hilo ambapo sasa wamefikisha mara 10.

Kwa upande wa kocha wa timu hiyo Pitso Mosimane ametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mara tatu. Alitwaa ubingwa wake wa kwanza msimu wa 2015/16 akiwa na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kisha msimu wa 2019/20 akiwa na Al Ahly na sasa 2020/21 akiwa bado na Al Ahly.

Wachezaji wakishangilia kwa kumbeba kocha Pitso Mosimane

Kaizer Chiefs ambao walikuwa wanacheza fainali yao ya kwanza katika historia yao, walifika hatua wakiacha kumbukumbu ya kuitoa Simba SC ya Tanzania katika hatua ya robo fainali kabla ya kuitoa Wydad Casablanca kwenye nusu fainali.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine