Picha Msanii Spack
Kwenye interview hapa East Africa Radio/Tv na Digital Spack amesema kuwa hana tatizo na mtu yeyote kutoka katika lebo yake ya zamani ‘Tip Top Connection’ na hata hao wasanii aliokuwa akihusishwa nao kwenye migogoro na mambo mengine yupo nao sawa.
Sikiliza Interview yote hapa