Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyemsifia Mama yake kuliko Mkewe afunguka

Monday , 5th Jul , 2021

Kutoka mitandaoni kuna 'video clip' ili-trend ikimuonesha Michael Jackson akimsifia mama yake mzazi kwenye harusi kuliko mkewe ambapo baadhi ya watu wamejaji tukio hilo kwa kusema sifa hizo alizotoa ilibidi ziende kwa mke wake.

Picha ya Michael Jackson na mke wake

Akijibu suala hilo kupitia EATV & EA Radio Digital kwa njia ya mtandao wa WhatsApp Michael Jackson amesema 

"Jamii inaishi kwa mitazamo waitakayo, mazoea na kukariri baadhi ya vitu, ukitaka kuwaridhisha hutoweza na utakua mtumwa katika kuishi maisha yako na kile unachokiamini, nafasi ya wazazi inabaki kwenye nafasi yao na mke ana nafasi yake"

"Kumsifia mke hakuondoi upendo,shukran na thamani ya wazazi na kuwasifia wazazi hakuondoi thamani na upendo kwa mke, lazima watu waelewe hakuna muda maalumu au siku maalumu anayostahili kupongezwa mzazi, mke au mume, sema mazuri ya mtu popote unapopata nafasi akiwa anasikia kwani hakuna aijue kesho" ameongeza 

Pia ameendelea kusema yeye na mke wake wanajuana vizuri na hawaishi kwa matarajio ya watu bali wanaishi kwa uhalisia ya maisha yao.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine