Picha ya msanii Meek Mill
Kupitia ukurasa wake wa twitter Meek Mill ameonesha kuunga mkono hukumu hiyo iliyosomwa Ijumaa ambapo alihukumiwa kifungo cha miaka 22 na nusu kwenda Gerezani kwa makosa matatu ikiwa ni pamoja na la mauaji.
“Kifungo cha miaka 20 jela ni hukumu sahihi kwani kuna marafiki zangu wengi waliwapa hukumu kama hiyo kwa kuuza dawa za kulevya” – ameandika Meek Mill.
