
Pastor Myamba
Myamba ambaye binafsi ameanza maisha ya ndoa hivi karibuni amesema kuwa, atasuka filamu hizi katika mtindo ambao utawagusa kila mmoja katika ndoa, kurejesha vicheko, kuibua kilio lengo likiwa ni kusaidia kuyasongesha mahusiano haya kuvuka changamoto zake za kila siku.