![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2021/05/17/100.jpg?itok=niAK1wlJ×tamp=1621231736)
Whozu na mpenzi wake Tunda
Pia Whozu amesema tayari ameshaandaa jina endapo akipata mtoto ambapo atamuita Lora kwa sababu analipenda sana na tayari ameshachora tattoo ya jina hilo kwenye mwili wake.
"Lora ni jina ambalo nalipenda sana tangu nikiwa nasoma natamani kwenye maisha yangu nikipata mtoto wa kwanza au wa pili lazima aitwe Lora, Tunda hana ujauzito ila hapa nimeongea tu" amesema Whozu
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.