Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ubinafsi kikwazo kwa vijana kutoendelea

Sunday , 16th May , 2021

Ukiwa na passion na kitu chochote unaweza kukifanya na kufanikisha,hivyo kwa watu milioni 27.1 ya watanzania kuwa wanatumia internet unapaswa kujua utengeneze kitu gani ili uweze kupata soko.’

Hayo yameelezwa na Benson Shirima mbunifu kupitia Teknolojia wakati akihojiwa na EATV ambapo ameongeza kuna vijana wengi wamemaliza katika vyuo vikuu katika fani za ICT,na wamekaa tu nyumbani kwamba ajira hakuna lakini nchi ina mahitaji mengi yanayohitaji suluhu

''Mimi wakati nasoma,tukifanya malipo ya ada na malipo mengine tulikuwa tunatumia muda mrefu unatoka hapa na kwenda dirisha hili,wakati ingetumika mtandao utakaorahisisha kutoa huduma ingesaidia ni kama sasa malipo mengi ya serikali yanafanyika kwa mtandao,hii inaondoa urasimu na kupoteza muda.'' Benson Shirima mteknolojia wa Mtandao

Akizungumzia vikwazo ambavyo vijana wanakumbana navyo wakati wanataka kujiajiri kupitia Mtandao,anasema cha kwanza ni uthubutu,kuwa nikifeli itakuaje na ubinafsi miongoni mwa vijana.

Ameongeza kuwa ubinafsi huwakwamisha vijana katika kupiga hatua katika kuungana, mfano nina wazo langu na sitaki kushirikisha wengine,na nataka kutengeneza ufalme wa mtu mmoja,na pia kushirikiana na wengine siwezi kwa hofu ya kushika nafasi zetu,na hatuhitaji kuwa na wafalme wawili,haya yote hukwamisha vijana kusonga..

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali