Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anayedai kugeuzwa msukule miezi 4, azungumza

Tuesday , 4th May , 2021

Jeshi la polisi wilayani Magu mkoani Mwanza limemuokoa kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali Salome James, mkazi wa Kijiji cha Sato anayedaiwa kuwafanya misukule baadhi ya wakazi wa kijiji hicho na kuwatumikisha kwenye mashamba yake.

Shija Peter, mwananchi anayedai kuchukuliwa msukule

Akizungumza mbele ya wakazi wa kijiji hicho, mmoja wa vijana waliopotezwa na kufanywa msukule, anayeulikana kwa la Shija Peter, amedai kuwa aligeuzwa msukule kwa muda wa miezi minne na mama huyo na kusema kuwa alikuwa analazwa sehemu moja na fisi na kunyweshwa uji huku familia yake ikiwa haijui mahali alipo.

"Nilikuwa na suruali nyeupe na shati nikanyang'anywa nikabaki na bukta, asubuhi tulikuwa tunachukuliwa tunapelekwa shambani kulima, tulikuwa tunalima mchana na usiku lakini kula hakuna tunakorogewa na uji na usiku tunatembezwa kwenye majumba ya watu kutafuta chakula na tulikuwa tunapakwa madawa", ameeleza Shija

Kwa upande wake Seko Nyabanya, ambaye ni mganga wa jadi aliyefanikiwa kumtoa katika hali ya msukule kijana Shija Peter, ameeleza hali aliyokuwa nayo kijana huyo kabla na baada ya kumrudisha katika hali yake ya kawaida na kuweza kujitambua.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine