
Waumini wakiwa kwenye maombi
Mtumishi Prophetess Trizah na waumini hao wamefanya maombi hayo leo Mei 1, 2021 ambapo ameeleza kuwa kuna kila sababu ya watanzania kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga hilo ambalo lingeleta madhara makubwa.
Zaidi tazama video hapo chini