Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika apiga kijembe Yanga, Tarimba akipokea

Thursday , 8th Apr , 2021

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea leo Aprili 8, 2021, likiongozwa na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai ambaye katika kipindi cha maswali na majibu alitupa kijembe kwa mbunge wa Kinondoni Abbas Tarimba kuhusu ushindi wa Simba SC.

Spika Job Ndugai na Mbunge Abbas Tarimba

Akimkaribisha kuuliza swali mbunge wa Kinondoni Spika Job Ndugai amesema kuwa Pasaka ya mwaka huu ilikuwa nzuri sana hasa baada ya ushindi wa Simba wa magoli 4-1 dhidi ya AS Vita kwenye uwanja wa Mkapa Dar es salaam.

“Niwaombe radhi waheshimiwa wabunge, lakini mtakubaliana nami Pasaka ya mwaka huu ilikuwa nzuri sana hasa baada ya mtu kupigwa bao 4-1, nashindwa kujizuia kumpa nafasi mbunge wa Kinondoni (Abbas Tarimba) asiulize swali,” amesema Spika Job Ndugai.

Aidha mbunge wa Kinondoni Abbas Tarimba naye akajibu kuwa amepokea kijembe hicho huku wakiwashauri Yanga SC kuitumia kama mfano ili kuendelea kuitangaza Tanzania kimataifa.

“Naona kijembe kimeingia sawasawa lakini na mimi ni wapongeze kwasababu Simba SC wameisaidia Tanzania kuweza kuonekana vizuri na ule utaratibu wa kuitangaza Tanzania “Visit Tanzania” kusema kweli ni jambo linalofaa kuigwa na wenzetu wa Yanga  pindi watapofanikiwa kuingia kwenye mashindano haya,” amesema Abbas Tarimba.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine