Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aunt Sadaka atoa neno mjadala wa wana Twitter

Wednesday , 3rd Mar , 2021

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa Aunt Sadaka, amesema kuwa ili kuepusha migogoro kati ya Mama mkwe na mkwewe wa kike ni kuhakikisha kila mtu anaheshimu mipaka yake na kwamba kila mmoja wao anayonafasi kubwa kwa huyo kijana wa kiume.

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa, Aunt Sadaka

Hayo ameyazungumza hii leo Machi 3, 2021, kufuatia mjadala ulioibuka mitandaoni siku za hivi karibuni ulioonesha misigano inayotokea pale kijana wa kiume anapoamua kuoa na kuanzisha familia huku mama yake mzazi akionesha kuingilia hiyo ndoa ama kutoelewana na mke wa kijana wake.

"Heshima hailazimishwi wewe huna sababu ya kuniheshimu mimi kama sikuheshimu wewe, kila mtu ajue mipaka yake umeolewa kwa mwanangu una mipaka yako kama mtoto na mimi mama nina mipaka yangu kama mama, unajua jambo ambalo tunashindwa kulielewa na kulikubali ni kwamba mimi Mama siwezi kuwa mke kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa Mama kwa mtoto wangu," amesema Aunt Sadaka. 

Aidha Aunt Sadaka ameongeza kuwa "Kila mtu ana nguvu yake, wewe kama mke una nguvu ambayo mimi kama mama siwezi kuwa nayo hata siku moja kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa na nguvu niliyonayo mimi mama kwa mtoto wangu, mimi nitakuheshimu wewe kama mke wa mtoto wangu na wewe ni lazima uniheshimu kwa vitu viwili kwanza nimekuzidi umri na wewe umekuja umeolewa kwangu".

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali