Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanaotukosoa kwa staha hatuwachukii"- Magufuli

Thursday , 25th Feb , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amesema kuwa serikali haichukii watu wanaoipa changamoto na wanaokosoa kwa staha na kuwataka Watanzania watangulize uzalendo kwani si kila kitu cha kuweka mitandaoni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais Dk. Magufuli ametoa kauli hiyo leo Februari 25, 2021, wakati akizungumza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika soko la kisasa la Kisutu pamoja na kuzindua jengo la Jitegemee na studio za Africa Magic Group Limited.

"Serikali haichukii wanaotupa changamoto na kukosoa kwa staha, kitakwimu tumeruhusu vyombo vingi sana vya habari katika kipindi hiki kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru, sasa tuna vituo vya Radio 193 na vya TV vipo 46," amesema Rais Dk. Magufuli.

"Nitoe wito kwa wanahabari na Watanzania, vyombo tunavihitaji na habari tunazihitaji lakini tutangulize uzalendo na haki ya yule anayeandikiwa habari, pamekuwa na habari nyingi za uzushi mara fulani kafa mara vigogo wapukutika ni mambo ya ajabu," ameongeza kusema Rais Dk. Magufuli.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine