Hamisa Mobetto na Paula
Ametoa ushahidi wa video kuwa siku ya Feb 9, 2021, ambayo imetajwa na Kajala kuwa ndio walitoka, Paula hakuwa na nywele zinazoonekana kwenye video.
Pia amesema atamshtaki Kajala kwa kumchafulia jina lake.
''Rest assured sitaliacha hili lipite bure, nafikiri itakuwa fundisho zuri na kwa wale wooooote ambao wamekua wakichafua jina langu kwa upuuzi wao'', ameandika Hamisa.