Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge ataja sababu za Magufuli kuongezewa muda

Thursday , 4th Feb , 2021

Mbunge wa Makambako kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Deo Sanga, amewataka wabunge wenzake kumuongezea muda Rais Magufuli, kwa kuwa amefanya kazi kubwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kwamba asipotaka wabunge wamlazimishe.

Kushoto ni mbunge wa Makambako, Deo Sanga na kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli

Kauli hiyo ameitoa Bungeni Dodoma, wakati wa kikao cha pili mkutano wa pili wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusema kuwa kuna watu ukiwaongezea muda ni adhabu, lakini Rais Dkt. Magufuli, anastahili kuongezewa ili ayakamilishe aliyoyaanzisha.

"Rais wetu amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, atake asitake tumlazimishe, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kwa mtu anayefanya vizuri hata nyie wabunge mliorudi maana yake mlifanya vizuri ndiyo maana watu walisema tena mrudi", amesema Mbunge Sanga

Akitoa hoja yake katika ombi hilo, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, alisema kuwa kila mtu anaujua msimamo wa Rais Magufuli, kwamba hataongeza muda lakini maoni ya mbunge hayazuiliwi kuzungumza kile anachoona.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine