Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyoni, Bocco nje, taifa stars ikiivaa Namibia leo

Saturday , 23rd Jan , 2021

Timu ya taifa ya Tanzania ‘taifa stars’ itaendelea kuwakosa nyota wake John Bocco,Ibrahim Amen na Erasto nyoni walioripotiwa kuwa majeruhi, wakati ikitarajiwa kutupa karata yake ya pili kwenye michuano ya CHAN mchezo wa kundi D leo usiku dhidi ya timu ya taifa ya Namibia, utakaochezwa Saa

Taifa stars itaendelea kuikosa huduma ya wachezaji wake wakongwe na wazoefu John Bocco na Erasto Nyoni kwenye mchezo dhidi ya Namibia kutokana na majeruhi

Taifa stars ilipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa mabao 2-0 na timu ya taifa ya Zambia, na sasa kikosi hicho kinachonolewa na kocha Mrundi Etienne Ndayiragije kinahitaji matokeo ya ushindli kwenye mchezo wa usiku wa leo ili kufufua matumaini ya kusonga mbele kwenye fainali hizo za CHAN.

Namibia wao ndio wanaburuza mkia kwenye kundi hilo baada ya kufungwa mabao 3-0 na timu ya taifa ya Guinea kwenye mchezo wa kwanza, hivyo Taifa stars wapo juu ya Namibia kwenye msimao wa kundi wakiwa nafasi ya 3 kutokana na tofauti ya mabao ya kufungwa, Guinea ndio vinara wa Kundi D wakiwa na alama 3 sawa na Zambia, Guinea wakikaa kileleni kwa faida ya mabao ya kufunga.

Mara ya mwisho Timu hizi kukutana ilikuwa Machi 5, 2014. mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya bao 1-1.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine