Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichoambiwa Mwasiti na mama yake Godzillah

Tuesday , 5th Jan , 2021

Leo ni Januari 5, kumbukumbu ya kuzaliwa kwa aliyekuwa msanii wa HipHop Golden Jacob 'Godzillah' ambaye alifariki dunia siku ya Februari 12,2019 ambapo kama angelikuwa hai angesheherekea kutimiza umri wa miaka miaka 32.

Msanii Mwasiti akiwa na Godzillah enzi za uhai wake

Huyu hapa ni dada mkuu wa Bongoleva pia alikuwa mtu wa karibu na marehemu Godzillah, Mwasiti ameshea stori kuhusu kitu alichoambiwa na mama mzazi wa aliyeuwa msanii huyo.

"Nilimjua Zilla wakati ana-hit na wimbo wake wa salasala, muunganiko wetu ulikuja baada ya kukutana na mama yake ambaye aliniomba nimuangalie Godzilla nikasema sawa, tulikuwa marafiki, mtu na dada yake na alikuwa anapenda kuniita Dada Chitty" amesema Mwasiti 

"Zillah alikuwa mtu mwenye huruma sana tofauti na watu walivyokuwa wanamuona mitandaoni, alikuwa ana uthubutu sana, vizazi vinavyokuja wajifunze kutoka kwake vinaweza kuwasogeza kwenye carrier ya wanaotaka ku-rap na wanaopenda muziki" ameongeza 

Mwasiti na Godzillah wamewahi kufanya kazi kwa pamoja ambazo zimefanya vizuri kwenye muziki wa BongoFlava kama Soldier na First class.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine