Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kununua Ndege zingine 4

Saturday , 5th Dec , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema kuwa serikali iko kwenye mpango wa kunua Ndege zingine 4 ambapo mbili ni za masafa marefu na mbili ni za masafa ya kati, ambazo zitawarahisishia wafanyabiashara wa bidhaa zinazoharibika haraka kusafirisha bidhaa zao kwa uharaka.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 5, 2020, wakati wa uzinduzi wa kongamano la uwekezaji na biashara ya mazao ya bustani, na kuongeza kuwa bidhaa kama minofu ya samaki, mazao ya bustani na nyama yanahitaji kuwa na uhakika wa usafiri.

"Pamoja na Ndege ya mizigo, serikali itanunua Ndege kubwa 2 za masafa marefu na 2 za masafa ya kati ili kuongeza fursa za kibiashara zaidi, pia imeshaunda kamati maalum kwa ajili ya kuainisha changamoto za usafirishaji na kimfumo katika bandari na viwanja vya ndege ili kufanya maboresha yanayohitajika", amesema Waziri Mkuu.

Aidha Waziri Mkuu ameongeza kuwa, "Serikali inatambua uwepo wa changamoto katika usafirishaji wa bidhaa, kupitia ilani ya CCM imeweka bayana mpango wa kuboresha mazingira ya usafirishaji wa bidhaa zinazoharibika kwa haraka kwa kunuanua ndege ya mizigo kwa kuzingatia mahitaji ya biashara na ukuaji wa uchumi nchini".

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine