Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliorejeshwa kutoka Afrika Kusini wahukumiwa

Friday , 27th Nov , 2020

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu watu tisa kulipa faini ya Shilingi elfu hamsini (50,000), kila mmoja au kutumikia kifungo kwa miezi mitatu baada ya kukutwa na hatia ya kuondoka nchini kinyume cha sheria ya uhamiaji.

Pichani: Mfano wa pingu

Waliohukumiwa ni Shabani Saidi, Masoud Simba, Ramadhani Khamisi, Yassin Mbonde, Kioma Samuel, Chris Mrope, Michael Sempindu, Yusuf Kecha na Yasin Hamis.

Hukumu hiyo imetolewa hii leo na Hakimu Mkazi Mkuu Janeth Mtega baada ya washtakiwa hao kukiri kutenda kosa hilo.

Awali, Wakili wa Serikali Shija Sitta, aliwasomea mashtaka yanayowakabili kuwa Novemba 11, mwaka huu washtakiwa walikamatwa katika uwanja wa taifa wa Mwalimu Julius Nyerere baada ya kurudishwa kutoka nchini Afrika Kusini   na ndipo walipopelekwa katika ofisi za uhamiaji Jijini Dar es salaam kwa ajili ya mahojiano.

"Kwa kosa walilolitenda washtakiwa la kuondoka nchini bila kufuata kanuni na taratibu maalumu, naiomba Mahakama yako tukufu iwape adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine" amesema Wakili Sitta.

Hata hivyo, kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, washtakiwa walijitetea mbele ya Mahakama kuwa wanaomba wapunguziwe adhabu kwa sababu wamekiri kosa lao na kutorudia Tena kutenda kosa, baada ya kupewa nafasi na hakimu Mtega  ya kusema chochote.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali