Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yataka akina Mdee na Matiko waulizwe swali

Wednesday , 25th Nov , 2020

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tumaini Makene, amesema kuwa swali la kwamba wao wamesalitiwa na wabunge wa viti maalum walioapishwa jana, linapaswa liulizwe moja kwa moja kwa wabunge wenyewe kwa kuwa wao walipewa imani zaidi na wananchi.

Bendera za CHADEMA.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 25, 2020, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, ambapo amesema kuwa hakukuwa na utaratibu wowote uliofanyika na kupelekea kupatikana kwa wabunge wa viti maalum kutoka ndani ya chama hicho.

'Hilo swali la kusalitiwa linawastahili wao vizuri akina (Halima Mdee, Esther Matiko, Ester Bulaya) wawaeleze wananchi waliokuwa wamewapatia imani kubwa kwa muda mrefu", amesema Makene.

Aidha Makene amesisitiza kuwa CHADEMA hakikufanya uteuzi wowote wala kuwasilisha majina ya wabunge wa viti maalum walionekana kuapishwa siku ya jana ya Novemba 24, 2020, jijini Dodoma.

"Hakukuwa na kitu chochote kinachoitwa uteuzi kwa maana ya chama kuketi katika vikao vyake, kwa mujibu wa katiba na kufanyia uteuzi na kuwasilisha hayo majina kwa mkurugenzi wa uchaguzi”, amesisitiza.

Jumla ya wabunge 19 wa viti maalum kupitia CHADEMA, walikula kiapo cha kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwemo Halima Mdee,  Ester Bulaya, Esther Matiko na wengine.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine