Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha vijana kuchelewa kuingia kwenye ndoa

Tuesday , 3rd Nov , 2020

Wakati vijana wengine wakioa na kuolewa kumekuwepo na wimbi la vijana wengi ambao wamejawa na hofu, woga juu ya suala zima la ndoa huku moja wapo ya sababu ya hali hiyo ikitajwa kuwa kukithiri kwa matukio ya ukatili miongoni mwa wanandoa.

East Africa Digital imeongea na Mwanasosholojia, Rajabu Mpilipili, kutoka TAYA ambapo amesema matukio ya ukatili baina ya wanandoa yamepelekea vijana wengi kuona ndoa kama kitanzi na kuathiri afya ya akili .

“Vijana wanaathirika kwa namna mbalimbali wengine wanafika hatua hawaoni thamani ya ndoa kwasababu anaona kama kwenye ndoa ukatili unakuwa wa namna hii wa watu kumwagiana maji ya moto, kupigwa,kwa hiyo wanaona bora wabaki kwenye mahusiano ya kawaida" amesema Mpilipili

Aidha Mpilipili ameongeza kuwa athari hii haishii kwenye kuona ndoa kama kitanzi bali huathiri afya ya kaili ya vijana kwa kuwasababishia msongo wa mawazo.

“Afya ya akili inakuwa ina matatizo mmoja kwa mmoja wanajikuta wanakuwa na msongo wa mawazo, wana maswali mengi akilini mwao kuhusina mifumo hii na wanakuwa wanashindwa namna gani waweze kuyajibu kwani pale ambapo ungetegemea kupata majibu sahihi kwa wahusika lakini wahusika haohao ndio wanaokithirisha hivyo vitendo” amesema Mpilipili

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine