Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walaji wa chapati, maini na soda wapewa angalizo

Saturday , 24th Oct , 2020

Mtaalam wa masuala ya lishe kutoka Jukwaa la lishe Tanzania (PANITA) Jane Msagati, amewashauri wanaopenda kula chapati na maini na kisha wakashushia soda au chai ya rangi, waache ulaji wa mtindo huo na badala yake washushie juice ya matunda ili kusaidia mwili kuzalisha damu ya kutosha.

Chapati na maini

Ushauri huo ameutoa hii leo Oktoba 24, 2020, wakati akizungumzxa kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio  na kusema kuwa mtu anapokula hivyo unauwekea uzito mwili wake kuwa na uwezo wa kufyonza virutubishi.

"Mara nyingi tuepuke kula vyakula vyenye viurutubishi vya madini chuma ambavyo vinasaidia katika uzalishaji wa damu mwilini na vitu kama soda na chai ambavyo mara nyingi huzuia ufyonzaji wa virutubishi katika mwilini, hali inayopelekea miili yetu kuwa na upungufu wa hivyo virutubishi", amesema Jane.

Aidha ameongeza kuwa, "Mtu anapokula chapati na maini, ashushie na juice iliyotengenezwa na matunda na maji yaliyo salama kwa sababu matunda ni vyanzo vizuri vya vitamin C, unausaidia sana mwili kuzalisha damu ya kutosha kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya mwili wa mwanadamu".

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine