Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TIGO yashirikiana na Itel kuzindua Itel T20

Wednesday , 21st Oct , 2020

Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo ikishirikiana na kampuni ya Itel imezindua simu mpya ya Itel T20 itakayowarahisishia wateja wao katika matumizi ya  mtandaoni (Internet).

Kushoto ni Meneja wa bidhaa za internet wa Tigo, Mkumbo Myonga, na kulia ni Afisa Habari wa Kampuni ya simu ya Itel Fernando Wolle wakionyesha simu mpya waliyoizindua leo Itel T20

Akizungumza na wandishi wa habari leo Meneja wa bidhaa za internet wa Tigo, Mkumbo Myonga, amesema kuwa bidhaa hiyo yenye ubora wa aina yake itakua ni chaguo sahihi kwa wateja wa mtandao wa tigo kutokana na urahisi wake katika matumizi ya Mtandao imetokana na ushirikiano wake na  kampuni ya simu ya Itel.

"Tigo kwa kushirikiana na Kampuni ya simu ya Itel tumewaita hapa kwa ajili ya kuzindua simu mpya aina ya smartphone ambayo inaitwa Itel T20 ushirikiano huu unakuja ikiwa ni muendelezo wa kuwaletea wateja wetu bidhaa mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya internet, huu ni ushirikiano unatuleta kwenye nafasi nzuri ya kuweza kuwahudumia wateja wetu” amesema Mkumbo Myonga

Kwa upande wa Afisa Habari wa Kampuni ya simu ya Itel Fernando Wolle alikuwa na haya yakusema kuhusiana na ushirikiano huo pamoja na jina la simu hiyo, "Tumeungana leo na Tigo illikuwawezesha wateja waweze kufurahia maisha ya kidigitali, unaweza jiuliza kwanini simu inaitwa Itel T20, tumechukua T ikimaanisha Tigo na 20 ni mwaka 2020 kwahiyo Itel T20 ni Itel Tigo 2020” amesema Fernando Wolle

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali