Tuesday , 20th Oct , 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeruhusu watu kupiga kura kwa kutumia vitambulisho mbadala, iwapo kadi ya mpiga kura imepotea au kuharibika. 

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage

Kupitia taarifa yao kwa vyombo vya habari, Tume imeruhusu Vitambulisho kadhaa kutumika ambavyo ni, Kitambulisho cha Taifa kinachotolewa na NIDA, Hati ya Kusafiria na Leseni ya Udereva.

Soma taarifa zaidi hapo chini