Makao makuu ya TFF
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo Oktoba 18, 2020, TFF imeeleza kusikitishwa na taarifa za upotoshaji juu ya maamuzi ya kesi mbalimbali zinazowasilishwa.
Taarifa hiyo imesisitiza kuwa TFF ni taasisi sio mtu na inaongozwa kwa katiba yake na kanuni mbalimbali hivyo kesi zote zinazowasilishwa zinashughulikiwa kwa muongozo na kwamba Shirikisho hilo halina mamlaka ya kuzuia kesi kwenda kwenye mamlaka za haki.
Soma taarifa kamili hapo chini