Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za kifedha

Friday , 9th Oct , 2020

Wanawake nchini wametakiwa kuondokana na fikra kandamizi za mfumo dume ambao huwafanya kuhisi kutokuweza kufanya chochote kwa maendeleo hivyo wametakiwa watumie fursa zilizopo katika sekta ya fedha ili kukuza uchumi wao.

Gloria Njiu Mkuu wa kitengo cha huduma cha kidigitali, NCBA.

Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Mamlaka ya Bima Tanzania (TIRA), Dkt. Mussa Juma katika jukwaa la wanawake la kifedha Tanzania kwa mwaka wa pili linaloratibwa na benki ya NCBA ikishirikiana na asasi nyingine za kifedha kwa lengo la kuwainua wanawake katika sekta za kifedha na kiuongozi.

Akizungumza kwa niaba ya taasisi za kifedha nchini, Bi. Gloria Njiu, ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kidigitali cha benki ya NCBA, amesema benki hiyo inahamasika zaidi kuwashika wanawake mkono katika sekta za kifedha na pia imeboresha zaidi huduma zao kwa kuwaletea huduma hizo kiganjani kwa ushirikiano na M-Pawa

Benki ya NCBA inashiriki kwenye Jukwaa la Wanawake la Kifedha linalofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam ambapo usiku wa leo kunashuhudiwa utoaji wa tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta ya biashara na uchumi hapa nchini.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine