Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Upangaji usio rasmi wachangia migogoro

Monday , 5th Oct , 2020

Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya makazi baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema serikali haina budi kuchukua hatua kali kwa watu wanaojenga katika maeneo hatarishi huku wengine wakitoa malalamiko yao juu ya uwepo wa kundi kubwa la matapeli katika sekta ya ardhi.

Ramani ya makazi ya watu

EATV hii leo imepita katika mitaa kadhaa ya Jiji la Dar es Salaam na kuzungumza na wananchi hao ambao wameelezea adha wanayokutana nayo ikiwemo madalali ambao wamekuwa wakipangisha nyumba kwa gharama kubwa, hali ambayo imekuwa inaleta usumbufu kwa muda mrefu.

Pamoja na hayo EATV ikalazimika kufika katika chama cha wapangaji Tanzania na kuzungumza na Katibu wake Bw. Ngasongwa Philip, ambaye amesema ili kuepusha migogoro ya ardhi ni muhimu wadau wote kufuata sheria.

"Sasa unakuta mwenye nyumba anataka alipwe kodi ya mwaka mzima wakati hata waajiri hawalipi mishahara ya mwaka mzima hii ni changamoto kubwa sana". amesema Ngasongwa Philip Katibu wa Chama cha wapangaji, Ngasongwa Philip.

Aidha, amesisitiza kuwa mfumo rasmi wa upangishaji unaotumika kwa kuwa  sasa ni holela hasa katika makazi ambayo hayajapangwa ukiacha machache yaliyokidhi vigezo akishauri katika siku hii ni vyema wadau wakatafakari uwepo wa udalali usio rasmi ambao huumiza wananchi kwa muda mrefu.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine