Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea adai kuwarudisha vijijini wale wanaozurura

Tuesday , 29th Sep , 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini Cecilia Mmanga, amesema iwapo Watanzania watampa ridhaa ya kuwaongoza, atahakikisha vijana wote wanaozurula mjini bila kazi, wanapelekwa kijijini na kila mmoja anapewa hekari moja ya shamba ili ajikite kwenye shughuli ya kilimo.

Mgombea urais kupitia chama cha Demokrasia Makini, Cesilia Mmanga.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV, na kuongeza kuwa Taifa la Tanzania lina vijana wengi hivyo ni lazima nguvu kazi iliyokuwa ikitumika wakati wa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere inarudishwa katika kilimo.

Taifa letu lina vijana wengi, na kila kijana tutamkatia heka moja kwa sababu vijana wengi tunaona wako mjini wanazurula bila kazi maalumu, lakini tukipata ridhaa ya kuingia madarakani hawa vijana wote wasiokuwa na kazi tutawapeleka vijijini na kuwapa mashamba ili wafanyie shughuli za kilimo,” alisema Cecilia.

Aidha, Cecilia ameongeza kuwa wote watakaozalisha malighafi, serikali yake haitowapangia bei bali itawapa uhuru wa kila mmoja kuwa na bei yake ya mazao kwa kuwa wakulima ndiyo wanaojua jinsi wanavyohangaika.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine