Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya Idris na mwenzake yapigwa kalenda

Monday , 28th Sep , 2020

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imeahirisha kesi ya mchekeshaji Idriss Sultan na mwenzake ya kushindwa kusajili laini ya simu iliyokuwa ikitumiwa na mtu mwingine.

Akieleza mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi, Rashid Chaungu, wakili wa serikali Kija Elias, amesema shauri hilo lilikuja kwa ajili ya kuanza kusikiliza ushahidi ambapo upande wa utetezi uliowakilishwa na Wakili Jebra Kambole, umeomba tarehe nyingine.

 Awali upande wa utetezi uliomba muda wa kufanya kikao kwa ajili ya kukiri kosa ''bargaining'' ambapo wamedai kuwa hawakupata muda wa kufanya kikao hicho.

Aidha Hakimu Chaungu, ameutaka upande wa utetezi kuja na majibu kamili ili kama watashindwa kufanya kikao hicho basi mahakama hiyo ianze kusikiliza ushahidi na kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 29,mwaka huu.

Idris anakabiliwa na shitaka la kushindwa kusajili laini ya simu iliyokuwa ikitumiwa na mtu mwingine ambapo mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni mfanyabiashara Innocent Maiga anayekabiliwa na kosa la kushindwa kutoa taarifa ya mabadiliko ya umiliki wa laini ya simu hiyo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine