Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bodi ya Ligi waufungia uwanja wa Ushirika Moshi

Saturday , 26th Sep , 2020

Bodi ya Ligi kuu Tanzania (TPLB) imeufungia uwanja wa Ushirika uliopo Moshi mkoani Kilimanjaro kuchezewa mechi zozote za mashindano.

Uwanja wa Ushirika Moshi ni uwanja wa tatu kufungiwa na Bodi ya Ligi msimu huu

Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ya Bodi ya ligi imeelza uwanja huo umefungiwa kutokana na kukosa baadhi ya sifa za kikanunu kama zilivyoainishwa kwenye Kanuni ya Saba inayozungumzia uwanja na sheria namba moja ya mpira wa miguu inayozungumzia uwanja.

kutokana na uamuzi huo wa kuufungia uwanja wa Ushirika, Bodi ya Ligi imeitaka klabu ya Polisi Tanzania kuutumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo Jijini Arusha kwa ajili ya mechi zake za nyumbani za Ligi kuu ya Vodacom 2020-21.

lakini pia Kamati ya Leseni za klabu itaufanyia uchunguzi uwanja huo baada ya marekebisho kukamilika.

Huu unakuwa ni uwanja wa tatu kufungiwa na Bodi ya Ligi msimu huu kwa kukosa sifa za kikanuni, viwanja vingine vilivyofungiwa ni uwanja wa Mabatini uliopo Mlandizi mkoani Pwani ambao ni uwanja wa nyumbani wa Ruvu Shooting na uwanja mwingine ni wa Gwambini Uliopo Misungwi Jijini Mwanza ambao ni uwanja wa nyumbani wa Gwambina FC.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali