Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TRA yajinasibu kuanzisha vituo vipya zaidi

Thursday , 24th Sep , 2020

Mamlaka ya Mapato nchini imewataka wananchi kuendeleza utaratibu wa kulipa Kodi mbalimbali kwa wakati huu ambao mamlaka hiyo huendelea na utaratibu wa kuanzisha vituo vipya vya huduma za kikodi kwa mlipa kodi.

Mkurugenzi wa Elimu kwa mlipakodi TRA Richard Kayombo

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Elimu kwa mlipakodi Richard Kayombo mara baada ya kutembelea kituo kipya cha huduma za kikodi kilichoanzishwa eneo la Chanika jijini Dar es salaam akieleza kwa sasa huduma mbalimbali zitapatikana hapo huu ukiwa ni mikakati wa Mamlaka hiyo kusogeza huduma karibu zaidi kwa wananchi.

"Kuanzishwa kwa kituo hiki cha huduma za kikodi hapa Chanika itawasaidia wafanyabiashara wengi kupata huduma kirahisi zaidi tofauti na umbali mrefu uliokuwa ukiwakabili TRA ni yenu msisite kuzitembelea ofisi hizi na kuuliza huduma yoyote"-Richard Kayombo.

Kwa upande wao wafanyabiashara Katika eneo hilo la Chanika wamesema wamekuwa wakipata changamoto ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma za kikodi hali ambayo wengi walitumia pia mwanya huo kukwepa ulipaji wa kodi stahiki kwa wakati.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine