Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viwanda vyahimizwa kushiriki uzalishaji bora

Wednesday , 23rd Sep , 2020

Katika mkakati wa kuendeleza sera ya serikali ya uchumi wa viwanda na uzalishaji wa ajira viwanda vidogo na vikubwa vimetakiwa kuwekeza katika uzalishaji wa bidhaa bora zenye kukidhi viwango vya ndani na kimataifa.

Mkurugenzi wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodgar Tenga.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodgar Tenga wakati akitangaza kuhusu shindano la Tuzo za Rais za Mzalishaji Bora wa mwaka ikiwa na lengo la kutambua makampuni yanayohusika na uzalishaji wa bidhaa na huduma nchini.

“Kwa kipindi chote tumepata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wadau mbalimbali na kwa mwaka huu tumekwisha pokea idadi kubwa ya washiriki kutoka viwanda mbalimbaoi kote nchini. Tunahamashisha makampuni mengi kushiriki na hususani tunahamasisha ushiriki wa viwanda vya kati na vidogo” alisema Bw Tenga

Tenga amewataka viwanda vya kati na vidogo kutumia jukwaa hilo kama nafasi ya kwao kuongoza kwenye nyanja tofauti ili kuweza kutambulika, kuchangia ukuaji wa biashara zao huku washiriki wakieleza manufaaa waliyopata katika mashindano 15 yaliyopita.

“Mbuyu ulianza kama mchicha , hivyo ni muda muafaka kwa viwanda vya kati na vidogo kutumia jukwaa hili kama nafasi kwao kuongoza kwenye nyanja tofauti kutambulika, kuchangia ukuaji wa biashara zao”aliongeza Tenga

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine