Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya Mawe ya Urembo

Friday , 18th Sep , 2020

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo (Tarazo) ambayo hutumiwa katika kunakishi majengo mbali mbali walioko kawe beach jijini, Dar es salaam, wameiomba serikali kupitia wizara ya madini kupunguza gharama ya upatikanaji wa leseni ya biashara hiyo kwa kuwa  wanalazimika pia kulipa kodi,

Picha ya mfano wa Mawe ya Urembo.

pamoja na vibali vingine.

Watu wengi hupendelea kuyatumia mawe haya kama urembo katika ujenzi na mapambo kwenye maeneo mbalimbali jambo ambalo limechagiza kushamiri kwa biashara hiyo na kupelekea baadhi ya vijana wengi kujihusisha na biashara hiyo ambayo wanayotoa katika mikoa ya Tanga na Iringa.

Licha ya biashara hiyo kutajwa kuwa na baadhi ya changamoto lakini bado imeajiri vijana na kinamama ambao hujipatia riziki zao na kuendesha maisha ya kila siku huku wakishukuru serikali kwa kuwaacha katika eneo hilo kufanya biashara hiyo.

Aidha wamesema katika kikundi hicho ambacho kina zaidi ya vijana hamsini ambao wameunganisha mitaji wengine wakisafirisha huku Baadhi yao wakiponda kuziweka katika saizi tofauti kulingana na mahitaji ya wateja wao.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali