Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vifungashio tatizo kwa wafanyabiashara

Friday , 7th Aug , 2020

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Mmoja ya kijana mjasiriamali anayejishughulisha na utengenezaji wa sabuni za mche pamoja na sabuni za maji dawa za kusafishia maliwatoni amesema wanapata wakati mgumu kusafirisha sabuni hizo umbali mrefu kutokana na vifungashio kuwa duni.

Hata hivyo amesisitiza ni vyema vijana wengi wakaacha kuilalamikia serikali na badala yake wajitokeze kujifunza mbinu ya kujisimamia wenyewe katika ujasiriamali ili kukuza vipato vyao.

Kuhusu Sera za Serikali katika biashara na viwanda amesema ni muhimu zikazingatia kuwakuza hasa wafanyabiashara wa ndani ili waweze kuwa na ushindani katika masoko makubwa na wafanyabiashara wanaotoka nje.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali