Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichokuwepo nyuma ya Monalisa na Amina Chifupa

Friday , 5th Jun , 2020

Muigizaji wa BongoMovie Monalisa, amefunguka kuhusu kushea mwanaume na marehemu Amina Chifupa, ambaye alikuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM, na mwanaume mwenye alikuwa ni marehemu Mohamed Mpakanjia.

Msanii wa filamu Yvonne Cherrie "Monalisa"

 

Akipiga stori kwenye show ya SalamaNa ya East Africa TV inayoruka kila siku ya Alhamisi kuanzia 3:00 usiku amesema  "Mimi na Amina Chifupa tulikuwa marafiki  wazuri, yeye alikuwa anasoma Kisutu mimi Zanaki ila tulikuwa tunakutana sana, kilichotukutanisha zaidi ni Mohamed Mpakanjia,  na mimi binafsi nilianza mahusiano na Mpakanjia kabla ya yeye".

"Baadaye nikaja kusikia ninayetembea naye ni mume wa mtu ila hakuwahi kuniambia kama ana mke, nikaanza kumpunguza na kumpotezea taratibu japo ilikuwa ngumu, halafu nikasikia anatoka na Amina Chifupa na kuna siku Amina alinitafuta akaniambia kwamba hakujua kwamba mimi nilikuwa naye kabla yake" ameongeza.

Aidha Monalisa ameendelea kusema  "Siku anayofariki Amina Chifupa, mimi nilikuwa nimetoka kujifungua mtoto wangu wa pili kwahiyo sikuweza kwenda msibani, iliniuma sana kwa sababu alikuwa ni mchapakazi".

Marehemu Amina Chifupa alifariki Juni 26, 2007, ila aliolewa na mfanyabiashara Mohamed Mpakanjia ambaye naye alifariki mwezi Septemba 2009.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali