
Klabu ya Simba
Kwa mujibu wa mtandao wa Digital Sports Africa, wafuasi hao wametoka katika mitandao ya Instagram, Facebook, Twitter, YouTube, TikTok na linkedin, ambapo klabu ya Al Ahly ya nchini Misri inaongoza ikiwa na wafuasi milioni 27, ikifuatiwa na Zamalek SC yenye wafuasi milioni 12 na Raja Club Athletics ya Morocco ikishika nafasi ya tatu kwa wafuasi milioni 6.
Klabu ya Azam FC inakamata nafasi ya 13 katika listi hiyo ikiwa na wafuasi takribani wafuasi milioni 1 na klabu ya Yanga 957,000.
Hizi ni takwimu za klabu 20 bora katika mitandao ya kijamii barani Afrika.