Friday , 10th Jan , 2020

Kijana Michael Aroni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda mkoani Songwe amenusulika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata Div. 4 ya 26, katika matokeo ya kidato Cha 4 yalitolewa jana.

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Dkt. Ahmed Ramadhan.

Maiko amehitimu Shule ya Sekondari St. Agrey na alitarajia kupata Div. 1.

Akithibitisha kumpokea Mgojwa huyo, Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Dkt. Ahmed Ramadhan amesema Mgonjwa huyo amepatiwa matibabu na sasa anaendelea vizuri.

Aidha amewataka wazazi kuwa karbu na watoto wao katika kipindi hiki cha majibu ya mitihani.

Tazama video kamili hapo chini.