Shilole ametoa kauli hiyo katika kipindi cha Kikaangoni, kinachoruka kupitia kurasa za Facebook na YouTube ya East Africa TV, kuanzia saa 8 : 30 hadi saa 9 : 30 Mchana, ambapo amesema mpaka sasa hajalipa hiyo ada.
"Siku ya harusi yangu Jux aliahidi atamsomesha mtoto wangu mmoja, mpaka leo kaingia mitini, Jux naomba utimize ahadi yako lipa ada ya mtoto wangu ahadi ni deni" amesema Shilole.
Tazama mahojiano kamili hapo chini.

