msanii wa muziki wa bongofleva nchini Timbulo
Msanii huyu amesema kuwa, kwa upande wake binafsi sasa ameanza kusafiri sehemu mbalimbali na kufanya maonyesho kama njia ya kujikwamua, akiwa pia ameanza kutoka nje ya mipaka ya nchi, ingawa kuna changamoto ya msanii akiwa peke yake kuandaa kila kitu mwenyewe.
