Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tarehe ya Uchaguzi Serikali za Mitaa yatangazwa

Friday , 23rd Aug , 2019

Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Selemani Jaffo ametangaza tarehe rasmi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019.

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jaffo

Ameyasema hayo hii leo, Agosti 23 Jijini Dodoma wakati akitoa maagizo kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa na Viongozi mbalimbali kuelekea uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Ikiwa ni miezi minne imebakia kabla ya kumalizika kwa mwaka 2019, Waziri Jaffo amesema kuwa uchaguzi huo utafanyika, Novemba 24, ambapo zoezi la kupiga kura litaanza saa 2:00 Asubuhi hadi saa 10:00 Jioni.

Kampeni za uchaguzi zitafanyika siku saba kabla ya siku ya Uchaguzi, na kila chama kitakachoshiriki uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya Kampeni, si chini ya siku 7 kabla ya kuanza Kampeni.

Ofisi ya Mkoa ndiyo itakuwa Mratibu Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa husika, ambapo Halmashauri za wilaya zitawajibika kuratibu Uchaguzi kwa mujibu wa maelekezo yaliyoonyeshwa katiia Mwongozo”, amesema Selemani Jaffo.

Kwa mujibu wa Kanuni hizi, viongozi waliochaguliwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita, ukomo wa Uongozi wao utakuwa ni siku 7 kabla ya siku ya kuchukua fomu kuanza", ameongeza.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine