Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii atembea kwa miguu kutoka mkoani

Friday , 23rd Aug , 2019

Rapa wa nchini Kenya King Kaka, ametembea kwa miguu kutoka mji mkuu wa nchi hiyo Nairobi hadi mjini Nakuru akihamasisha kampeni ya kuchangia taulo za kike.

Rapa wa nchini Kenya King Kaka

Kampeni hiyo itasaidia kuwanunulia wanafunzi wa kike taulo za kike ili kuendelea kubakia shuleni, kama ambavyo East Africa Television na East Africa Radio imekuwa ikifanya kwa mwaka wa tatu sasa.

Safari hiyo ya kutembea kwa miguu ametumia kilomita 154 na siku 6 hadi kufika mjini Nakuru.  

King Kaka amesema anashirikiana na Benki ya "On Me" ili kukamilisha zoezi hilo ambalo lengo lao wanahitaji kuwasaidia wanafunzi Laki moja kubaki shule, na ukichangia shilingi 13,389 utakuwa umesaidia mwanafunzi mmoja kubaki shule kwa mwaka mzima.

Zoezi hilo itaambatana na burudani ya muziki kutoka kwa staa huyo siku ya kesho tarehe 24 ya mwezi wa nane.

King Kaka anafuata nyayo za East Africa Television na East Africa Radio, ambao wameshaanza kampeni hiyo ya kuchangia taulo za kike na tayari wameshafanikisha kutoa taulo hizo za kike katika mikoa mbalimbali na kuwafikia wasichana zaidi ya 5000.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine